• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KATA YA CHONGOLEANI NA FURSA ZA BOMBA LA MAFUTA

Imewekwa: August 11th, 2022

Na: Emma Kigombe

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mheshimiwa Omary Mgumba amefanya ziara Katika kata ya Chongoleani Jijini Tanga siku ya Jumanne, Augosti 9, 2022 yenye lengo la kusikiliza na kutatua changamoto zilizopo katika eneo hilo. Ziara hii ambayo alianzia kwa kutembelea Bandari ya Tanga, ni ya kwanza kufanya ndani ya Jiji la Tanga tangu ahamishiwe Mkoani Tanga akitokea Mkoa wa Songwe, siku tatu zilizopita.

Akizungumza na wakazi wa Kata ya Chongoleani, Mgumba amewapongeza wakazi hao kwa kupata mradi mkubwa wa bomba la mafuta katika kata yao ambao utagharimu takribani trillion 8 ambapo manufaa yake yameshaanza kuonekana katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Mgumba amesema kuwa Chongoleani ni eneo muhimu kwa uchumi wa taifa kutokana na mradi wa bomba la mafuta na hivyo wananchi wa kata hiyo ni muhimu  sana katika ulinzi wa mradi huo.

"kata yenu hii kitaifa ndio iliyopata mradi mkubwa kuliko zote na manufaa yake mtaanza kuyaona na mengine yameshaanza kuonekana mapato ya Halmashauri ya jiji la Tanga yameanza kupaa maana yake kila fedha inayoongezeka inatupa nguvu  serikali kuja kuwahudumia kwa uzuri sana" alisema Mgumba.

Aidha Mgumba amemshukuru Rais Samia kwa namna alivyotekeleza na kutatua shida za wananchi  hususani katika kata ya chongoleani.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tanga Hashim Mgandilwa amewataka wananchi wa Chongoleani kuendelea kutoa ushirikiano kwa wawekezaji wanaoenda kuwekeza katika eneo hilo.

Pia mkuu wa wilaya ya tanga ameyataka makampuni ambayo yameshafanya tathmini kuweza kuwalipa fidia wananchi

" kwenye Uwekezaji huu wa bomba la mafuta kumetokea watu wengi sana wakitaka maeneo kwenye mitaa yetu hii,  yapo makampuni ambayo tayari wameshalipa fidia lakini wapo baadhi yao wamefanya uthamini bado fidia hawajalipa " Alisema Mgandilwa


Nae mstahiki meya wa jiji la Tanga Mh. Abdurahman Shiloow ameeleza mikakati ya Halmashauri katika Kuendeleza kata ya chongoleani kuwa mji wa mafuta.

"Siku za mbeleni Halmashauri ya jiji la tanga imepanga kutengeneza kata hii na pembezoni mwake kuwa mji wa mafuta,  tumapanga kabisa sasa ndani ya Tanga tuwe na mji wa mafuta na kata hii ndio itakuwa makao makuu ya mji wa mafuta". Alisema Shillow

Pia mstahiki meya aliongeza kwa kusema kuwa wamewekeza katika kata ya chongoleani kwa kuboresha miundombinu ambapo katika mwaka wa fedha uliopita halmashauri imetumia zaidi ya bilioni 194 katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika kata hiyo ambapo katika fedha hizo  milioni 80 zimetoka serikali kuu  na milioni 114 ni mapato ya ndani ya Halmashauri., na kwa mwaka huu fedha  Halmashauri imetenga milioni 208 ambazo zimeshaanza kutumika na zitaenda kujenga madarasa, matundu ya vyoo,  bweni, nyumba za walimu shule za msingi na sekondari.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.