• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KASERA KUPATA SEKONDARI IFIKAPO MWEZI APRIL, UJENZI WAANZA.

Imewekwa: January 16th, 2025

Januari 14, 2025.

Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu ya Halmashauri ya Jiji la Tanga, chini ya Mwenyekiti wake Mhe. Habiba Namalecha, leo Jumanne, Januari 14, 2025, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya sekta za huduma za jamii, ikiwa ni maandalizi ya kikao cha kamati cha kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa kazi za Halmashauri kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2024/2025, kwa Idara na Vitengo vilivyo chini ya Kamati hiyo.


Katika ziara hiyo, kamati ilitembelea miradi miwili ya sekta ya elimu ya msingi na sekondari. Ambapo katika elimu ya awali na msingi, kamati ilitembelea Shule ya Msingi Mwakidila kujionea kazi ya ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa, vyumba vitatu vya ofisi na matundu mawili ya vyoo vya wanafunzi wenye mahitaji maalumu, vilivyojengwa kwa msaada wa Shirika la Comfort Aid International, ikiwa ni pamoja na madawati 100.


Kamati imepongeza wadau hao kwa msaada ambao umetekelezwa kwa ubora na kwa wakati. Shule ya awali na msingi ya Mwakidila ni moja ya shule zenye idadi kubwa ya wanafunzi, ambapo kwa sasa ina zaidi ya wanafunzi 2000 wanaotoka Kata za Tangasisi na Masiwani.


Kamati ilitembelea kata ya Maweni kukagua kazi ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Kasera, inayojengwa nyuma ya chuo cha Utumishi, ambapo kwa mujibu wa mkataba, ujenzi huo unatakiwa kukamilika ifikapo tarehe 18/04/2025.


Mradi huo wa Sekondari ya kutwa, ambao umeingiziwa fedha zaidi ya shillingi million 584, unahusisha ujenzi wa vyumba nane vya madarasa,  jengo la utawala, maabara tatu, maktaba, jengo la TEHAMA, vyoo, kichomea taka na tanki la kuhifadhi maji la chini ya ardhi.


Kamati imeridhishwa na kazi, ambapo leo imeshuhudia kazi ya uwekaji wa zege la msingi na tayari misingi ya majengo yote ikiwa imekwisha andaliwa kuwekewa zege.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.