• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KAMATI YARIDHISHWA NA HALI YA LISHE JIJI LA TANGA

Imewekwa: August 21st, 2023

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Tanga, Bi. Hawa Msuya, leo Jumanne, Augosti 15, 2023, ameendesha vikao vya robo ya nne vya Kamati ya Lishe na Kamati ya Tathmini ya Mkataba wa Lishe Wilaya ya Tanga vilivyofanyika kwa wakati tofauti katika ukumbi wa mikutano wa jengo la Ofisi Kuu ya Halmashauri ya Jiji la Tanga.


Katika Kikao cha Kamati ya Lishe, ambacho kimepokea na kupitia taarifa ya utekelezaji wa afua za lishe katika robo ya nne ya mwaka uliyoishia Juni 30, 2023, Kaimu Mkurugenzi wa Jiji, Bi. Msuya amewataka Wakuu wa Idara mtambuka kwenye lishe, kuhakikisha wanatenga bajeti ili kuwezesha kufanyika kwa shughuli za lishe ili kufikia malengo ya kitaifa ya uboreshaji wa lishe kwa jamii.


Bi. Msuya alitumia kikao hicho kumtambulisha Afisa Lishe mpya wa Jiji la Tanga, Bi. Rehema Kirungi ambaye amehamia hivi karibuni katika Jiji la Tanga.  


Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Kitengo cha Lishe kwa robo ya nne ya mwaka 2022/2023, Afisa Lishe Bw. Ally Kassembo amesema Kitengo hicho kimeweza kutoa mafunzo kwa baadhi ya watumishi kuhusu utoaji nasaha kwa wagonjwa wenye upungufu wa damu, magonjwa yasiyo ya kuambukiza, na masomo mbalimbali yanayohusu lishe ya mwanadamu.


Kasembo amesema moja ya mafanikio ya Kitengo hicho ni kuratibu na kusimamia bonanza la vijana, kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, ambapo jumla ya watu 638 walipimwa hali zao za afya.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI JIJI LA TANGA AKABIDHI GARI NNE MPYA KWA IDARA NA VITENGO..

    July 22, 2025
  • LACI YATAMBULISHA MRADI TANGA JIJI..

    July 20, 2025
  • MAKUBWA MAWILI TUKIUANZA MWAKA 2025/2026..

    July 20, 2025
  • NANE NANE 2025 KANDA YA MASHARIKI: TANGA JIJI YAJIPANGA KUONYESHA UTEKELEZAJI WA ILANI..

    July 20, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.