• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KAMATI YA SIASA CCM WILAYA YAKAGUA MIRADI

Imewekwa: January 27th, 2023

Na. Pamela Chauya

Kamati ya siasa ya chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Tanga imefanya ziara katika shule ya sekondari Ummy Mwalimu iliyopo kata ya Maweni lengo la kukagua miradi inayotekelezwa na serikali katika shule hiyo ikiwa ni maelekezo ya ilani ya chama cha mapinduzi.

Akizungumza wakati wa ziara hiyo mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Tanga Meja mstaafu Hamisi Mkoba amesema miradi ya mabweni huwa inakumbwa na changamoto ya kushindwa kumalizika kwa wakati hivyo amemtaka Mkurugenzi wa halmashauri ya Jiji la Tanga kuhakikisha mabweni yanakamilika kwa wakati kuruhusu wanafunzi wa kike wa kidato cha tano kuripoti shuleni hapo.

Pia mwenyekiti huyo akamtaka mstahiki Meya na Mkurugenzi kuhakikisha mwaka wa fedha unapokamilika na ujenzi wa mabweni hayo uwe umekamilika ili kuwawezesha watoto wa kike kuweza kusoma kwa utulivu huku wakikaa sehemu salama.

Kwa upande wake Mstahiki  Meya wa Jiji la Tanga Alhaj Abdurahaman Shiloow amepokea maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya na amewataka watumishi kutumia vizuri fedha za serikali kwani zipo shule zimejengwa fedha sh milioni mia na zimekamilisha ujenzi huo kwa wanaosema fedha zilizoletwa hazitoshi wajitathimini

Shule ya Ummy Mwalimu ni miongoni mwa shule zilizojengwa kwa kiwango na imezingatia matumizi mazuri ya fedha na hadi sasa wametumia fedha walizopatiwa na chenji imebaki na watendaji wengine katika jiji la Tanga kujifunza kwa wezao waliofanikiwa.

Simeon Vedasto ni mchumi katika jiji la Tanga akaelezea kamati changamoto iliyosababisha kuchelewa kwa kumalizika kwa ujenzi wa mabweni katika shule ya sekondari ya Ummy Mwalimu imetoka na mashine katika mradi wa matofari kupata hitirafu na kushindwa kuzalisha matofari na kufanya baadhi ya miradi kusimama kutokana na kutokuwepo kwa  matofali .

Vedasto amesema matofali yanayozalishwa na kiwanda cha  Halmashauri yanatengenezwa kwa ubora na miradi yote inapata matofali hayo kwa bei nafuu.

Tunapo pata hitilafu katika kiwanda cha tofali tunatoa ruhusa kuchukua kwa wadau wengine ila changamoto inakuja ubora na bei ya matofari na usafiri mpaka kufika eneo la mradi wadau wengi wanashindwa kufikisha matofali katika eneo la mradi ndiyo huleta changamoto katika utekelezaji wa miradi yetu.

 

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.