• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

KAMATI YA CMAC YAWATEMBELEA WAVIU NA WARAIBU.

Imewekwa: July 16th, 2024

Na. Salma Ramadhani

Julai 15, 2024.

Kamati ya kudhibiti Ukimwi ya Halmashauri ya Jiji la Tanga chini ya Mwenyekiti wake, ambae ni Naibu Meya wa Jiji, Mhe. Rehema Mhina, imefanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi na shughuli zinazotekelezwa na vikundi vya watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya Ukimwi (Waviu) na Waraibu wanaopata nafuu kutoka matumizi ya dawa za kulevya, kujionea namna wanavyoendesha shughuli zao za kujiletea maendeleo kwa fedha za ruzuku walizopokea.


Vikundi vilivyotembelewa leo, ambavyo ni sehemu ya vikundi  11 vilivyopokea ruzuku, ni pamoja na Baraza la Umoja wa Watu Wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (KONGA) ambapo wameweza kununua pikipiki na guta kwa shilingi milioni 11, kikundi cha Waviu Mchaka kilichopo katika Kata ya Duga kinachojishughulisha na shughuli za uuzaji wa vinywaji baridi na ushonaji wa nguo, ambacho kimepata shilingi milioni 2, kikundi cha Apple cha ushonaji na uuzaji wa vinywaji baridi, kimepata shilingi milioni 2, na kukagua kikundi cha waraibu wa dawa za kulevya wanaopata nafuu, cha ufugaji wa kuku kilichopo Makorora, nacho kikiwa kimepata ruzuku ya shilingi milioni 2.


Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Rehema Mhinda amesema kupitia agizo la Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya  kusisitiza tiba kazi, Halmashauri ya Jiji la Tanga imetoa shilingi milioni 30 fedha za ruzuku kwa ajili ya kuwawezesha watu waishio na maambukizi ya virusi vya ukimwi kufanya kazi za kujiingizia kipato.

Aidha ameshauri wananchi ambao wapo kwenye uraibu na ambao wameanza kunywa dawa  pamoja na wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi kujiunga kwenye vikundi pamoja na KONGA, ili kupewa elimu ya jinsi ya kuishi na kutumia dawa kwa usahihi na kupatiwa mikopo ya Halmashauri itakayowawezesha kujikwamua kiuchumi.


Kwa upande wake Mratibu wa Ukimwi Jiji la Tanga Bw. Moses Kisibo amesema kamati imeshauri kuwapatia elimu maafisa maendeleo ya jamii na maafisa kilimo na mifugo kutoka kwenye maeneo husika ili kuleta chachu mpya ya mabadiliko katika vikundi hivyo .



Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.