• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

JIJI LA TANGA LAPUNGUZA ATHARI ZA MIMBA KATIKA UMRI MDOGO, MAAMBUKIZI YA VVU NA UKIMWI

Imewekwa: August 20th, 2018

Halmashauri ya jiji la Tanga limeazimia kupunguza athari za mimba katika umri mdogo na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na UKIMWI, malengo haya yatafikiwa kufuatana na programu  iliyotoa  mafunzo ya masuala ya UKIMWI yaliendeshwa na wataalam wa Idara ya Maendeleo ya Jamii wa jiji hilo.

Kupitia programmu ya hiyo, Halmashauri ya Jiji la Tanga limefanikiwa kuwafikia wanafunzi wa shule za msingi wa darasa la tano, sita  na saba wapatao 1689 kwenye kata za Kirare, Mzingani na Mnyanjani kwa ajili mafunzo ya masuala ya UKIMWI, stadi za maisha na ukatili wa kijinsia.

Mratibu wa UKIMWI wa Jiji la Tanga bwana Mosses Kisibo alisema mafunzo hayo yana malengo ya kumuwesha kijana hasa mwanafunzi kupata uelewa wa masuala ya Ugonjwa wa UKIMWI na athari zake katika jamii inayomzunguka na kuchukua taadhari. Aliongeza mafunzo hayo yatawasaidia kuepukana na Mimba katika umri mdogo hasa kwa mabinti wa kike ambao wapo katika vishawishi vikubwa na kuaribiwa ndoto zao za baadae.

Kwenye program hiyo wanafunzi walipata masomo mbalimbali yakiwa na nia ya kuwapa uelewa wa masuala ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI. Ikiwa ni pamoja na njia za maambukizi na tabia hatarishi zinazopelekea kujiingiza katika tabia hatarishi, njia za kujikinga ili kufikia ndoto zao, maana ya stadi za maisha na hatua za za stadi za maisha na faida zake kwa wanafunzi, maana ya ukatili wa kijinsia na aina za ukatili wa kijnsia na athari zake.

Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi ya Kirare, wakizungumza baada ya mafunzo hayo, walishukuru kwa mafunzo maana yamewapa uelewa wa masuala ambayo kwa hakika walikuwa kwenye hatari kubwa. “Binafsi kuna vitu vingi ndio imevijua leo hii, nashukuru sana na sasa ninajitambua na naweza kuwahabarisha na wenzangu” alisema Mwasiti Ally mwanafunzi wa darasa la saba.

Kwa mijibu wa takwimu za viashiria vya UKIMWI kundi la vijana lenye umri wa kati 15-49 ndio limeathirwa zaidi kwa asilimia 6.2 na watoto miaka 0-14 ni asilimia 0.5 umri wa kundi ili wengi wamejiingiza kwenye masuala ya ngono na vitendo vya ulawiti.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.