• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Fifa yatenga zaidii ya Tsh Bil.4 kujenga kituo cha michezo jijini Tanga

Imewekwa: May 6th, 2019

Leo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Harrison Mwakyembe ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujenga kituo cha michezo kata ya mnyanjani jijini tanga.

 Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni  Sanaa na Michezo imeomba Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) zaidi ya Bil.4 ili kujenga Kituo hicho ambacho kitakuwa na viwanja  vinne na Hosteli za wanafunzi wana michezo watakachokuwa wanakaa kambini katika kipindi chote cha lafunzo.

Waziri Mwakyembe pia ameahidi Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuanza haraka mchakato wa kufanikisha “Tanga inasifika vizuri sana kwa kutoa wana michezo mahiri sana hivyo  Serikali imeamua kuanzisha kituo cha Michezo eneo hili la mnyanjani hapa Tanga na Fifa wameshatenga Bil.4, sasa kuna haja ya TFF kuanza mara moja ujenzi wa kituo hicho na wizara itahakikisha fedha hizo zinatumika zilivyokusudiwa” amesema Waziri Mwakyembe.

Naye mjumbe wa kamati ya utendaji ya TFF, Khalid Abdallah amemweleza Waziri kuwa kwa mujibu wa ramani vitajengwa viwanja vine ndani ya eneo hilo la kituo cha kufundishia soka kwa vijana na majengo mbalimbali yanayohusiana na soka.

Mkurugenzi wa jiji la Tanga Daudi Mayeji amesema eneo hilo lina ukubwa wa heka 7.6 na kwamba fidia zimeshatolewa kwa nyumba zilizo ndani ya kituo hicho tarajiwa ndiyo maana eneo lipo wazi.

Aidha katika ziara hiyo Waziri Mwakyembe pia ametembelea uwanja wa mpira wa mkwakwani kuona uwanja ulivyo na kushauri namna ya kuboresha kiwanja hiko ili kiweze kujiingizia mapato, kiwanja cha Mkwakwani ni kiwanja kikubwa jiji la Tanga ambapo ligi kuu za Tanania au mechi za kirafiki pia uchezewa hapo.

Pia Mhe.Waziri wa Habari amefungua mafunzo ya namna ya kutengeneza vipindi vya Umma kwa Washitiri ambao ni maafisa Habari kutoka Taasisi mbalimbali za Umma nchini Tanzania “Tuhabarishe wananchi azma yetu kufikia malengo mwaka 2025 ya Maendeleo Kiuchumi,Kijamii na sera ya habari inasisitiza uwepo wa Mawasiliano bora kwa kuzingatia maadili ya taaluma, ni wajibu mkubwa na wenye dhamana” Amesema Waziri Mwakyembe.

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.