• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Elimu ya ukatili kwa watoto yatolewa Tanga

Imewekwa: October 22nd, 2019

Wananchi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga wametakiwa kutoa ushirikiano kwa wadau wanaopinga masuala ya ukatili kwa watoto ili kuweza kutokomeza vitendo hivyo katika Halmashauri hiyo.

Hayo yamesemwa na Afisa elimu ,kilimo na mazingira  Enedy Mwinzava  wa Halmashauri ya Jiji la Tanga  katika kikao kilichowakutanisha Maafisa maendeleo ya Jamii ,Walimu ,Kamati za wazazi pamoja na Wanafunzi kutoka shule  ya msingi  Mabawa ,Shaban Robert,pamoja na Majengo  ambapo  amesema Jiji hilo linaongoza kwa matukio ya ulawiti kwa watoto.

“Tafiti zimefanyika na Tanga tumeonekana kushika nafasi ya kwanza katika ukatili kwa watoto wetu wanafanyiwa vitendo vya ngono na wanaofanya hivyo ni jamii yetu inayotuzungua  hivyo Jiji imeamua kuandaa kampeni hii ya kupita katika shule zetu na kukutana na Walimu ,Kamati za wazazi pamoja na Wanafunzi na kutoa elimu kwani watoto wetu wanateketea”,.Alisema Enedy Mwinzava Afisa elimu Kilimo na Mazingira

Pia Enedy ameongeza kuwa kuvunjika kwa ndoa   ,umasikini , wazazi kutofuatilia maendeleo ya watoto wao mashuleni pamoja na uhuru kwa watoto ndio sababu kubwa inayosababisha  vitendo vya ulawiti kwa watoto kuongezeka .

Kwa upande wake   Loveness Robert ambae ni mwalimu wa Shule ya Msingi Shabani Robert    amesema  wazazi pamoja na jamii wanapaswa kushirikiana ili kuhakikisha wanawasaidia watoto wao .

“Ifike mahali  sisi wazazi na jamii tutambue majukumu yetu kwa watoto wetu kwasababu endapo mzazi utakuwa makini na mtoto wako haya mambo ya ulawiti kwa watoto wetu hayatakuwepo kwa sababu tunawaacha watoto wetu mpaka saa 9 za usiku wakiwa kwenye vigodoro harafu tunakuja kulalamikia serikali lakini tukiwa makini nao haya yote hayatajitokeza “,. Alisema Loveness Robert  mwalimu wa shule ya msingi Shabani Robert

Licha ya changamoto hizi Halmashauri kwa kushirikiana na Wadau wa maendeleo ya Jamii wameandaa mpango kabambe kwaajili ya kudhibiti jambo hili na kauli mbiu ya kampeni hii ni MIMI NI MTOTO NAJITAMBUA  SISHABIKII MAPENZI.

Wanafunzi kutoka shule ya msingi Mabawa,Shabani robert pamoja na Majengo wakiwa wamenyoosha vidole kwa ajili ya kujibu swali waliloulizwa

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.