• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Bi.Pili Hassan Mnyema azindua Mradi wa TIMCI Jijini Tanga

Imewekwa: June 11th, 2021

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bi.Pili Hassan Mnyema amezindua rasmi Mradi wa TIMCI (Tools for Integrated Management of Childhood Illiness) katika Halmashauri ya Jiji la Tanga.

TIMCI imelenga Kuboresha Upatikanaji wa Vifaa vinavyosaidia kugundua magonjwa makali kwa Watoto chini ya Miaka Mitano.

“Mradi huu ukalenge kupunguza vifo vya Watoto, Mkoa wa Tanga una vifo vya watoto waliofia tumboni 64, watoto waliofariki mara baada ya kuzaliwa 65 na Vichanga wa siku 0-28 wakiwa 53 kati ya watoto 1,000 wanaozaliwa hai katika kipindi cha Januari hadi Machi, 2021, kipaumbele cha Serikali chini ya Rais wa  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania awamu ya Sita Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa Wananchi wake imetunga sera y matibabu bure kwa watoto chini ya miaka mitano, hivyo basi ji wajibu wetu sote kuzingatia utekelezaji wa sera hii kwaajili ya kuboresha afya za watoto wetu na kuzuia vifo ambavyo vingeweza kuepukika”. Alisema Bi.Pili Hassan Mnyema Katibu Tawala akizindua mradi huo.

Mradi huu utawezesha watoa huduma za Afya kutoa huduma stahiki za Uchunguzi na Utambuzi wa magonjwa ya watoto chini ya Miaka mitano kwa kutumia vifaa tiba vya kupima Oksjeni mwilini (POX) na vifaa saidizi vya maamuzi vya kielectroniki (eCDSA).

Halmashauri ya Jiji la Tanga ni moja kati ya Wanufaika wa 3 katika wilaya 3 zilizoteuliwa ikiwa pamoja na Sengerema na Kaliua kwa Nchi ya Tanzania, takwimu za kutoka kwenye mfumo wa taarifa za afya zinaonesha kuwa kipindi cha Januari mpaka Machi 2021, kwa jiji la Tanga watoto waliofia tumboni 31, watoto waliofariki mara baada ya kuzaliwa 38, vichanga kuanzia siku 0-28 wakiwa 34 na chini ya Miaka mitano 14 kati ya Watoto 1,000 waliozaliwa hai.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 04, 2021
  • Matokeo ya Kidato Cha Nne 2020 January 15, 2021
  • TANGAZO LA USAILI September 22, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 02, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Bi.Pili Hassan Mnyema azindua Mradi wa TIMCI Jijini Tanga

    June 11, 2021
  • Mwenge Maalum wa Uhuru 2021 watua Jiji la Tanga

    May 28, 2021
  • Mhe.Ummy Mwalimu atoa Madawati 355 kwa Shule za Msingi za Jiji la Tanga

    April 27, 2021
  • Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu wanufaika na Milioni 300

    April 26, 2021
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.