• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Baraza la Madiwani lafukuza Watumishi 11 wa jiji la Tanga

Imewekwa: May 16th, 2019

Baraza la Madiwani jijini Tanga limewakufukuza watumishi 11 na kupunguza mshahara mtumishi mmoja kwa makosa mbalimbali ya kinidhamu  ikiwemo utoro kazini na matumizi mabaya ya fedha za wananchi wa jiji.

Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa jiji la Tanga Mhe.Seleboss Mustafa amesema kufukuzwa kazi kwa watumishi hawa kumetokana na kuzorotesha kazi na kuchelewesha maendeleo kwa wananchi, amewataja watumishi hao mtendaji  wa mtaa Jamhuri B kata ya Ngamiani,Joachim Mabula Tabibu daraja la II, Mtendaji wa mtaa wa old Nguvumali kata ya Nguvumali, Mtendaji wa mtaa Mahako Mbugani, Mtumishi wa Zahanati Kichangani, Mtendaji wa mtaa wa Mbezi B kata ya Makorora, Mtendaji mtaa Tikila,Magumila,Shabani Juma mhasibu Ngamiani, Muuguzi daraja la II Ngamiani na Aggy Mohamed amepunguziwa mshahara ambaye ni mtendaji mtaa wa kwanjekaNyota.

Mstahiki Meya katika Mkutano huo amesema Baraza halitamuonea mtendaji yoyote wala  halitashindwa kumchukulia hatua mtumishi yoyote wa Halmashauri ambaye yupo ndani ya mamlaka ya baraza ya kinidhamu isipokuwa Mkurugenzi tu lakini wakuu wa idara, watendaji wa kata na mtaa wapo ndani ya mamlaka yao ya kinidhamu, lengo ni kufanya halmashauri iwe na nidhamu alisisitiza Mstahiki Meya.

Aidha katika kuhitimisha Mkutano huo, Mstahiki Meya wa jiji la Tanga kwa niaba ya wananchi wa Tanga kwa pamoja wamempongeza  Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania mhe.John Joseph Pombe Magufuli kwa kutoa Bil.17 kwa jiji la Tanga ili kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo hususani kwenye sekta ya elimu, afya na uchumi.

 Katika fedha hizo Bil.3 imeelekezwa kujenga vituo vya afya 6, Bil.1.5 kujenga Hospital ya wilaya ya Tanga, Bil.8.3 hii ikiwa imeelekezwa kujenga kitenga uchumi katika stendi ya mabasi Kange ambacho kitakuwa na huduma zote muhimu kwa jamii.


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.