• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

UWEKEZAJI MAENEO YA VIWANDA - MABOKWENI

KIOMONI AND MABOKWENI INDUSTRIAL PARKS:

Halmashauri iliingia makubaliano ya kiungwana (Memorandum Of Understanding – MOU) na mmiliki wa shamba la Amboni “COALTAIL LIMITED” ili kuendeleza shamba la Amboni. Katika makubaliano hayo Halmashauri tayari imeanza kutekeleza makubaliano hayo kwa kuandaa ramani za Mipango Miji katika maeneo ya Mabokweni, Mikocheni na Pande ambapo jumla ya viwanja 4000 vinategemewa kupatikana na kupimwa ili hatimaye kumilikishwa kwa watu mbalimbali. Mpaka sasa hatua iliyofikiwa ni urejeshaji wa hati miliki ya awali za mashamba hayo ambapo hati hizo zimeshapelekwa kwa Kamishna Msaidizi kwa hatua hizo za mwisho.

Aidha, kutokana na Makubaliano hayo ya Kiungwana (MOU) kati ya Halmashauri na Coaltel Enterprises ambapo Halmashauri ilipewa eneo lenye ukubwa wa ekari takribani 5000, Halmashauri inakamilisha upimaji kwenye maeneo miongoni mwa yaliyotolewa na Coaltel Enterprises ambayo yataitwa Kiomoni Industrial Park yenye viwanja 112 na Mabokweni Indusrial Park yenye viwanja 117 na upimaji wake unakadiriwa kukamilika ifikapo mwishoni mwanzoni mwa Machi  2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 04, 2021
  • Matokeo ya Kidato Cha Nne 2020 January 15, 2021
  • TANGAZO LA USAILI September 22, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 02, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Bi.Pili Hassan Mnyema azindua Mradi wa TIMCI Jijini Tanga

    June 11, 2021
  • Mwenge Maalum wa Uhuru 2021 watua Jiji la Tanga

    May 28, 2021
  • Mhe.Ummy Mwalimu atoa Madawati 355 kwa Shule za Msingi za Jiji la Tanga

    April 27, 2021
  • Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu wanufaika na Milioni 300

    April 26, 2021
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.