• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MIFUGO

MIFUGO

Sekta ya Mifugo inajishughulisha na  uboresha wa  ng’ombe wa asili na    ng`ombe wa maziwa na mazao yake pamoja  na malisho ya wanyama  ambapo katika Halmashauri ya Jiji yetu eneo pekee na rasmi  linalotambuliwa kwa ufugaji ni eneo la vijana Pingoni ambalo lina ukubwa wa Ha. 1407.5 zilizogawanywa kwa viwanja. na Ekari zaidi ya 1,085 zimetengwa kwa ajili ya ufugaji wa asili na hekta 2,295 kwa ajili ya  wafugaji wa kati.

IDADI YA MIFUGO

Halmashauri ya Jiji ina ng'ombe wa asili 28,513,Ng'ombe wa kisasa wa maziwa 15,099, mbuzi  26,791, mbuzi wa maziwa 7,902, Kondoo 8,055, Kuku wa asili  217,929, Kuku wa kisasa wa mayai ni 194,572, Kuku wa kisasa wa nyama ni 304,609 na Nguruwe ni 6,421

MAZAO YA MIFUGO

  • Uzalishaji wa maziwa  ni lita 5,999,007.5 kwa mwaka, nyama ni  tani 1,282  kwa matumizi ya ndani ya Jiji na mayai ni jumla ya  trei 281,249.
  •  

Miundombinu ya Mifugo 

Aina ya Miundombinu
Yaliyopo
Yanayofanya kazi
Yasiyofanya kazi
Majosho ya ng’ombe
11
6
5
Majosho ya mbwa
2
1
1
Machinjio
1
1
-
Makaro ya kuchinjia(slaughter house)
2
2
-
Vituo vya mifugo
5
5
-
Maduka ya pembejeo(mifugo)
 21
21
-
Lambo
5
5
-
Viwanda vya maziwa
2
2
-
Mnada
-
-
-

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI December 04, 2021
  • Matokeo ya Kidato Cha Nne 2020 January 15, 2021
  • TANGAZO LA USAILI September 22, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 02, 2021
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Bi.Pili Hassan Mnyema azindua Mradi wa TIMCI Jijini Tanga

    June 11, 2021
  • Mwenge Maalum wa Uhuru 2021 watua Jiji la Tanga

    May 28, 2021
  • Mhe.Ummy Mwalimu atoa Madawati 355 kwa Shule za Msingi za Jiji la Tanga

    April 27, 2021
  • Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu wanufaika na Milioni 300

    April 26, 2021
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.