• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasis
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kuonana na Mst. Meya
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Idara ya Ujenzi

1.0 UTANGULIZI:

Idara hii ina vitengo vitatu ambavyo ni Majengo,Mitambo,Umeme na Magari.


1.1 DIRA NA MUELEKEO WA IDARA YA UJENZI.

idara inaendelea na itaendelea kusimamia miradi yote inayoipokea ikijumuisha miradi ya majengo na barabara kulingana na mingozo inayotolewa na road fund pamoja na ilani ya chama cha mapinduzi kwa kuzingatia usalama na ubora wa kazi.

2. MALENGO YA IDARA KATIKA UTOAJI WA HUDUMA.

Kuhakikisha miradi yote inayoifikia idara inasimamiwa kwa umakini kwa kuzingatia ubora,usalama katika miradi hiyo ili iendelee kuongeza kasi ya uchumi na manedeleo ya maeneo husika.

3. VITENGO VILIVYOPO NA MAJUKUMU YAKE

3.1 KITENGO CHA MAJENGO.

Idara inaendelea kusimamia miradi ya majengo mbalimbali ya Halmashauri ambayo inatekelezwa katika ngazi ya kata, vijiji na makao makuu ya wilaya.

KITENGO CHA UMEME, MAGARI NA MITAMBO.

Kupitia kitengo hiki idara inaendelea kufuatilia na kusimamia matengenezo mbalimbali ya magari ya halmashauri,mitambo mbalimbali iliyoko makao makuu na ile iliyoko katika kata na vijiji vyetu,pia kufanya matengenezo mbalimbali ya mifumo ya umeme katika majengo na miradi ya halmashauri kama inavyoonekana.

4.MAJUKUMU YA IDARA KWA UJUMLA.

Kusimamia shughuli zote zinazo husu ujenzi ikijumuisha usimamizi,uaandaaji wa makadilio ya  miradi tunayoipokea ambayo ni miradi ya barabara na majengo.

Katika miradi ya barabara idara inajukumu la kusimamia na kuandaa makadilio ya matengenezo ya muda maalumu,matengenezo ya kawaida,matengenezo ya sehemu korofi.

Katika miradi ya majengo idara inajukumu la kusimamia miradi hiyo pia kwa miradi midogo idara ianaandaa makdilio ya miradi hiyo.

3.AINA ZA HUDUMA ZINAZOTOLEWA KWA JAMII MARA KWA MARA

  1. Kutoa ushauri wa ujenzi vijijini.
  2. Kuhamasisha wananchi katika utendaji kazi za kujitolea, mfano matengenezo ya sehemu korofi,ujenzi wa madarasa,zahanati n.k.
  3. Kuaandaa makadililio ya miradi mikubwa na midogo ikijumuisha majengo na barabara.
  4. Kusimamia miradi yote ikijumuisha majengo

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato Cha Nne 2020 January 15, 2021
  • Fomu za kujiunga na Kidato Cha Kwanza kwa Sekondari za Tangajiji 2020 December 21, 2020
  • Mkutano wa kwanza wa Baraza jipya la Madiwani December 14, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 December 16, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kilio cha bili kubwa za maji kwa wananchi wa Jiji la Tanga sasa kupatiwa Ufumbuzi

    December 30, 2020
  • “Naahidi Mifuko ya Simenti 600 kutoka kwenye Mshahara wangu” Mhe.Ummy Mwalimu

    December 27, 2020
  • “Wahe.Madiwani wenzangu nawakumbusha kutekeleza yale tuliyoahidi” Mstahiki Meya

    December 15, 2020
  • “Tunakazi kubwa ya kuwatumikia Wananchi,” Mhe.Ummy Mwalimu

    December 15, 2020
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.