• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasis
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Kuonana na Mst. Meya
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Uwezeshaji Wananchi

Wilaya ya inakadiriwa kuwa na Vijana 105,096 (me 48,816 na ke 56,280), kati ya hao wenye ajira rasmi 21,019 (20%), waliojiajiri 47,293 (45%), walio shuleni 18,886 (18%) na wasio na kazi ni 17,898 (17%).

 

Hatua Zinazoendelea:  

  Mikopo ya Wanawake na Vijana

Kwa mwaka 2017/18 Halmashauri ya Jiji imetenga Tsh. 671,470,000 kwa ajili ya mikopo ya Vijana na Tsh. 671,470,000 kwa ajili ya wanawake. Halmashauri imewezesha Vijana wa Kikundi cha Mwamko cha Kiomoni pembejeo za kilimo zenye thamani ya Tsh.7,824,500.00 pamoja na kuwawekea miundombinu ya umwagiliaji wa matone. Aidha, Halmashauri iko katika mchakato wa kutoa mikopo ya Jumla ya Tsh.200,000,000/=ambapo Tsh.100,000,000 ni kwa ajili ya Vijana na Tsh.100,000,000/= ni kwa ajili ya wanawake. Pia, uwezeshwaji wa  vikundi juu ya uchumi wa viwanda na uandaaji wa maandiko ya miradi  umefanyika.

Uwezeshaji wa Wanawake na Vijana

Katika suala zima la uwezeshaji wa vijana na wanawake Halmashauri imetenga viwanja 20 kwa ajili ya wanawake na vijana, ambapo katika viwanja hivyo vitaendelezwa kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vya kati 10 vya wanawake na viwanda vya kati 10 (Medium  Scale Industries) kwa ajili ya vijana. Aidha katika utekelezaji wa mpango huo makundi hayo yatapewa taratibu maalum za kuchangia kwa ajili ya kujiunga katika makundi hayo ili kuwa mwanachama na kushiriki katika uchumi huo wa viwanda.Utekelezaji wa mpango huu umeanza kwa kukutana na wadau na kuunda  kikosi kazi. Tunaamini kuwa mpango huu utawezesha kuwavusha vijana na wanawake kutoka katika wimbi la umaskini.

Uwekezaji wa kiuchumi

Uwekezaji unaotegemewa kuanza katika wilaya ya Tanga ni ule wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka nchini Uganda kuja Tanga. Viwanda hususani viwanda vya saruji, kwenye sekta za barabara, reli, bandari, kilimo, ufugaji, biashara utawezesha kukabiliana na changamoto ya ajira kwa vijana kwa njia ya kujiajiri au kuajiriwa.

Matangazo

  • Matokeo ya Kidato Cha Nne 2020 January 15, 2021
  • Fomu za kujiunga na Kidato Cha Kwanza kwa Sekondari za Tangajiji 2020 December 21, 2020
  • Mkutano wa kwanza wa Baraza jipya la Madiwani December 14, 2020
  • Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2020 December 16, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Kilio cha bili kubwa za maji kwa wananchi wa Jiji la Tanga sasa kupatiwa Ufumbuzi

    December 30, 2020
  • “Naahidi Mifuko ya Simenti 600 kutoka kwenye Mshahara wangu” Mhe.Ummy Mwalimu

    December 27, 2020
  • “Wahe.Madiwani wenzangu nawakumbusha kutekeleza yale tuliyoahidi” Mstahiki Meya

    December 15, 2020
  • “Tunakazi kubwa ya kuwatumikia Wananchi,” Mhe.Ummy Mwalimu

    December 15, 2020
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.