• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

TASAF - MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI

Start Date: 2012-08-01
End Date: 2022-08-31

UTEKELEZAJI WA TASAF AWAMU YA TATU – JIJI LA TANGA

Mnamo mwezi Agosti 2012, TASAF Awamu ya Tatu (MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI) ilizinduliwa ambapo utekelezaji wake utakuwa wa kipindi cha miaka kumi (10) mpaka mwaka 2022.

Utekelezaji wa Awamu hii ya TASAF unafanyika kwa vipindi viwili vya miaka mitano kwa kila kipindi.  

Kwa Jiji la Tanga, Utambuzi wa kaya maskini umefanyika katika maeneo mbalimbali ya Jiji ambapo jumla ya Kaya Masikini 5,518 kutoka katika Vijiji na Mitaa 88 zilihakikiwa.

Lengo la zoezi utambuzi lilikuwa ni kuziwezesha kaya hizi zilizohakikiwa kuingia katika Mpango huu

MAFANIKIO YA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI

•Japo kuwa si kwa kiwango kiubwa sana lakini tunaweza kusema kwamba watoto wanakwenda shule na kina mama wanajitahidi kuwapeleka

watoto wao kliniki za karibu na maeneo yao ili watoto waweze kupata huduma

•Pesa wanazopata zimetumika kuwanunulia watoto sare za shule, viatu, madaftari, chakula pamoja na mahitaji mengine ya shule

•Pesa hizo pia zimetumika kuongeza mtaji kwenye miradi midogomidogo ya walengwa wa kaya maskini

CHANGAMOTO ZINAZOJITOKEZA WAKATI WA UTEKELEZAJI

•Upatikanaji hafifu wa mtandao uliounganishwa na mfumo wa epicor kwenye uandikishaji wa hati za malipo na hundi hali inayopelekea kufanya

 maandalizi ya malipo kwa muda wa usiku na pia siku za mwshoni mwa wiki.

•Majina ya baadhi ya walengwa kusomeka tofauti hali iliyopelekea walengwa husika kulalamika kuwa majina yao yamekatwa.

•Baadhi ya walengwa kutokuwepo wakati wa malipo kwa sababu mbalimbali mfano kusafiri au kuumwa hali inayopelekea fedha zao kurudishwa TASAF Makao Makuu.

•Baadhi ya mitaa amabayo haimo kwenye mpango wa kunusuru kaya Maskini kudai na wao wafanyiwe utaratibu wa kuingizwa kwenye mpango.

•Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kusimamia mradi (CMC) kutokuwa waaminifu.

Hadi kufikia malipo ya mwezi Machi – Aprili 2017, kaya 5,338 zimepokea jumla ya Tsh. 164,400,000

VIJIJI NA MITAA VILIVYO NDANI YA UTEKELEZAJI WA TASAF III - TANGA JIJI.pdf


Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.