• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

Ada ya Kuzoa Taka Ngumu

Uchangiaji wa gharama za udhibiti taka ngumu ni kwa mujibu wa kifungu cha 6 (1) cha Sheria ndogo za (Udhibiti wa Uchafuzi wa Mazingira) Halmashauri ya Jiji la Tanga za mwaka 2014. Kupata Sheria ndogo za Udhibiti wa Uchafuzi wa Mazingira, bonyeza hapa

Gharama za uzoaji taka kutoka katika Kaya, maeneo ya biashara na maeneo mbalimbali ya uzalishaji wake kabla ya kuzipeleka dampo zinatakiwa kuchangiwa na wakazi wote wa jijini Tanga

Na.

AINA YA JENGO

KIWANGO KWA MWEZI (Tshs.)

1
Maduka ya jumla

15,000.00

2
Maduka ya rejareja

10,000.00

3
Taka za nyumbani (kila kaya)

1,000.00

4
Viwanda vikubwa

100,000.00

5
Viwanda vya kati

50,000.00

6
Viwanda vidogo

30,000.00

7
Hoteli kubwa

100,000.00

8
Hoteli za kati

45,000.00

9
Nyumba za kulala wageni

25,000.00

10
Hospitali

50,000.00

11
Vituo vya Afya na Zahanati

30,000.00

12
Ofisi

30,000.00

13
Wakandarasi wa Majengo

50,000.00

14
Maduka ya Vifaa vya Magari

15,000.00

15
Ofisi za Mawakili

10,000.00

16
Ofisi za Wataalamu wa kuua Wadudu

10,000.00

17
Maghala makubwa

50,000.00

18
Maghala ya kati

30,000.00

19
Maghala madogo

20,000.00

20
Ofisi za Wahasibu/Wakaguzi na huduma za Kompyuta

20,000.00

21
Ofisi za Steshenari

10,000.00

22
Mgahawa

10,000.00

23
Taka za bustani, majani na miti
(Kwa safari moja)                 20,000.00
24
Biashara nyingine yoyote

10,000.00

25
Majumba ya Sinema

20,000.00

26
Mashine za Kusaga

20,000.00

27
Karakana

20,000.00

28
Minada

20,000.00

29
Mashine za kushona

10,000.00

30
Useremala

20,000.00

31
Vituo vya kuuza Mafuta ya Magari na Pikipiki (Filling Stations)

10,000.00

32
Mawakala

10,000.00

33
Ada ya kutupa taka kutoka kwenye Mkokoteni ndani ya Kizimba

5,000.00

34
Studio za Picha

10,000.00

35
Huduma za kufua na kunyoosha

10,000.00

36
Saluni ya Kiume na Kike

10,000.00

37
Duka la Dawa

15,000.00

40
Shule

20,000.00

41
Kituo cha Kutunza Watoto

20,000.00

42
Baa

40,000.00

43
Magenge

10,000.00

44
Mama Lishe

5,000.00

47
Ukarabati wa vifaa vya umeme

20,000.00

48
Vizimba vya Soko

(kwa siku) 200.00

49
Kutupa taka kwenye Dampo la Jiji
(Kwa safari moja)                10,000.00

Matangazo

  • TANZANIA CITIES TRANSFORMING INFRASTRUCTURE AND COMPETITIVENESS (TACTIC) PROJECT IDA CREDIT NO. 7151-TZ. March 09, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA JIJI TANGA September 27, 2024
  • TAARIFA YA MSIBA September 18, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 26, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • TANGA: MABORESHO DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KUANZA FEB. 13, 2025

    February 04, 2025
  • MENEJIMENTI WAPONGEZWA UTEKELEZAJI MIRADI, UMALIZIAJI WA VIPORO.

    February 04, 2025
  • AFUA ZA LISHE ZAFANYA VIZURI TANGA JIJI

    January 24, 2025
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI.

    January 16, 2025
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.