• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

MGANDILWA: TUTACHUKUA HATUA KALI KWA WAZAZI NA WALEZI WASIOPELEKA WATOTO SHULE.

Imewekwa: January 12th, 2023

Flora Maingu, Tanga.

Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. HASHIM MGANDILWA amewaonya vikali wazazi na Walezi Jijini Tanga ambao bado hawajawapeleka Watoto wao shule walio chaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika Jiji la Tanga kuwa Hatua kali zitachukuliwa , kwa kutotimiza Majukumu yao.

Mgandilwa ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya kushitukiza ya nyumba kwa nyumba katika Kata ya Chongoleani kusaka Watoto ambao hawajaripoti shule,lengo likiwa ni kuhakikisha kila Mtoto katika Wilaya hiyo anapata haki yake ya Msingi ya Kupata Elimu.

Hatua hiyo imefikiwa na Mkuu huyo wa Wilaya baada ya Kubaini kuwa Idadi ya Wanafunzi waliofika Shule kuwa ni ndogo ikilinganishwa na Idadi ya Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari.

Viongozi mbalimbali wa kata hiyo akiwemo diwani Mhe. MWAVESO MBEGA wameahidi kuunga mkono jitihada za Mkuu huyo wa Wilaya ili kuhakikisha Watoto wote wanafika shule.

Jumla ya wanafunzi 31 ndio waliofika shule kati ya wanafunzi 1oo waliochaguliwa katika shule ya sekondari Ndaoya kata ya Chongoleani.

Matangazo

  • MUDA WA NYONGEZA KULIPA KODI YA PANGO LA ARDHI BILA RIBA February 16, 2023
  • UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KWA DARASA LA AWALI NA LA KWANZA 2023 December 09, 2022
  • MSAMAHA WA RIBA KWA KODI YA PANGO September 28, 2022
  • MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA MADIWANI September 28, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • AKIDAYA WANUFAIKA NA MIKOPO YA HALMASHAURI

    March 22, 2023
  • WAZAZI NA WALIMU KUSHIRIKIANA KUBORESHA ELIMU

    March 22, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI JIJI LAPOKEA RASIMU YA BAJETI 2023/2024

    March 02, 2023
  • KAMATI YA USHAURI WILAYA YAJADILI BAJETI YA BILLION 72.1

    March 02, 2023
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.