• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Staff Mail |
    • Malalamiko |
Tanga City Council
Tanga City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Usafi wa Mazingira
      • Mipangomiji na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jiamii na Vijana
      • Maji
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
    • Kata
    • Mitaa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Sekta ya Utalii
    • Sekta ya Madini
    • Sekta ya Elimu
    • Sekta ya Viwanda
    • Maeneo ya Nyumba na Makazi
    • Sekta ya Misitu na Mashamba ya Miti
    • Sekta ya Uvuvi
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Usafi na Mazingira
    • Maji
    • Ardhi na Maliasili
    • Ujenzi na Miundombinu
    • Uwezeshaji Wananchi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipango Miji na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Siku za Kumuona Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Fomu Mbalimbali
    • Taratibu
    • Mpango Mkakati
    • Majarida
    • Taarifa za Miradi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
  • TangaTV

UVUVI

UVUVI

Uzalishaji Samaki

  • Samaki waliozalishwa katika jiji la Tanga kwa mwaka huu  ni kg 1,626,768 (tani 1626.77) ikilinganishwa na kg 2,000,000 (tani 2000) za samaki waliokadiriwa kuzalishwa sawa na 81% ya samaki waliokadiriwa kuzalishwa. Samaki hawa ni kutoka katika vituo vya Kasera, Deep sea na Tongoni.
  •  Hali ya Ufugaji Samaki
  • Katika jiji la Tanga, uhamasishaji wa kilimo cha viumbe wa majini na kilimo cha mwani unaendelea ingawa bado mwitikio ni mdogo .Kuna mabwawa 34 ya maji na malambo 4 na kati ya hayo ni mabwawa 19 tu ndio yaliyopandikizwa samaki.
  • Doria za kubaini uvuvi haramu zinaendelea katika maeneo ya ukanda wa bahari.

 MAFANIKIO YA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI:

Kuongezeka kwa  mifugo iliyoboreshwa inaofugwa kwa mfumo wa zero grazing ili kuondokana na ufugaji wa mifugo mingi na isiyo na tija.

Kuboreshwa kwa huduma ya uhamilishaji na kuongezeka kwa watumiaji wa huduma hiyo

Doria za kupambana na uvuvi haramu zinaendelea kufanyika katika maeneo mbalimbali ya bahari na masoko ya samaki.

Ufuatiliaji umeendelea kyufanyika ili kubaini vyombo vya uvuvi ambavyo havina leseni na kuchukua hatua.

Kupatiwa Pikipiki 2 kwa ajili ya shughuli za ukusanyaji wa mapato ya Uvuvi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 17, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI KUJADILI HESABU ZA MWAKA August 29, 2023
  • MWENGE WA UHURU TANGA JIJI May 29, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI KUJADILI HESABU ZA MWAKA August 29, 2023
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • KAMATI YARIDHISHWA NA HALI YA LISHE JIJI LA TANGA

    August 21, 2023
  • MBUNGE JIMBO LA TANGA MJINI ALETA AFYA CHECK

    August 21, 2023
  • KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI YA ELIMU, AFYA.

    July 26, 2023
  • KAMATI YA MIPANGO MIJI NA MAZINGIRA YAFANYA UKAGUZI

    July 26, 2023
  • Angalia Zote

Video

Baraza la Madiwani la kwanza 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Matumizi ya TEHAMA kwa Jiji la Tanga
  • Kata na Mitaa ya Jiji la Tanga
  • Manual ya mfumo wa FFARS
  • Muongozo wa ugawaji wa kitambulisho cha mjasiliamali
  • Jarida la Mifumo Yetu - Novemba 2018-Januari 2019
  • Kupata leseni ya Biashara
  • Tangazo kuhusu watumishi waliomba vibali vya uhamisho
  • Kuanza Ujenzi na Kupata Kibali cha Ujenzi
  • Kuhusu kupata kibali cha kusafiri nje ya nchi

Tovuti Linganifu

  • Ofisi ya Rais, Ikulu
  • Mfumo wa Kuomba Vibali vya Nje ya Nchi
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Independent Avenue

    Sanduku la Posta : P.O.BOX 178, Tanga

    Simu ya Mezani: 027 2643068

    Simu ya Mkononi:

    Baruapepe: info@tangacc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Jiji la Tanga . Haki Zote Zimehifadhiwa.