Imewekwa: April 5th, 2023
Halmashauri ya Jiji la Tanga imetenga kiasi cha shillingi million 250 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya ya awali na msingi ya mchepuo wa Kiingereza katika Kata ya Maweni, ambapo kiasi hicho cha...
Imewekwa: March 22nd, 2023
Diwani wa Kata ya Chumbageni Jijini Tanga, Mhe. Ernest Kimaya amekabidhi BAJAJ mbili mpya kwa kikundi cha AKIDAYA kinachoundwa na Ndg. Akida Addy na Bi. Hidaya wa Kata ya Chumbageni ambao ni wanufaika...
Imewekwa: March 22nd, 2023
Mradi wa uboreshaji mazingira ya utoaji elimu nchini(SHULE BORA) unaotekelezwa kwa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Misaada la Uingereza (UKaid), umeendesha mafunzo kwa Walimu Wakuu, ...